TFF yatoa kauli sakata la ZFA

Kanuni na taratibu za CAF ziko wazi kuhusu nani aongoze Chama cha Soka Zanzibar (ZFA) na anapatikana kwa utaratibu upi.
Kikubwa ni kuzuia ZFA isipate madhara ya kufungiwa na Chama Cha Mpira wa Miguu barani Afrika (CAF).
Imetolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Comments
Post a Comment