Posts

RASMI, HUKUMU Ya DMX Imetajwa, Ni KIFUNGO cha….

Image
TMZ imeripoti Legend wa HipHop DMX anarudi jela kutumikia kifungo cha mwaka mmoja kwa kosa la kukwepa kodi ya dola milioni 1.7 katikati ya mwaka 2002 na 2005, Upande wa mashtaka uliomba afungwe miaka mitano jela ili iwe funzo kwa wasanii wengine wanaopenda kukwepa kodi, awali alitakiwa kufungwa miaka 40 jela. Wakili wa DMX , Murray Richman alicheza muziki wa DMX mahakamani, wimbo “Slippin” ili jaji aelewe ugumu wa maisha aliopitia DMX Na ndio kilichopelekea staa huyu kupunguziwa adhabu. Mahakamani jana Jiji Jed Rakoff  alisema  DMX  ‘ni mtu mzuri anayefanya makosa makubwa kwenye maisha yake, yeye mwenyewe ndio adui yake namba moja’

Magazeti ya TZ leo August 7

Image

Magazeti Makubwa ya Magazeti ya TZ leo July 30

Image

Magazeti ya TZ leo July 24

Image

Makubwa ya Magazeti ya TZ leo July 23

Image

Rais Magufuli Atoa Siku 14 kwa Wamiliki wa Vituo vyote vya mafuta nchini

Image
Rais John Magufuli ametoa siku 14 kwa wamiliki wa vituo vyote vya mafuta nchini, kuhakikisha wanaweka na kutumia mashine za kielektroniki za kutolea risiti (EFD) na atakayekiuka agizo hilo atafutiwa leseni ya biashara yake.