Posts

Showing posts from November, 2015

RONALDO AMZUNGUMZIA MAMA WA MWANAE PAMOJA NA KURUDI MAN UNITED

Image
Ronaldo amesema hatomtaja mama wa mtoto wake mpaka atakapoona muda umefika Mchezaji Cristiano Ronaldo wa Real Madrid, amesema kamwe hatomtaja mama mzazi wa mtoto wake Ronaldo Jr. na kwamba muda ukifika atamuweka wazi huku mwanae pia akitakiwa kusubiri muda muafaka apate kumjua mama yake. Amesema kuwa amekua akishiriki mapenzi na warembo tofauti tofauti huku akikiri kuwa hiyo sio yeye tu bali ni tatizo kwa nyota wengi duniani kupitia maisha hayo huku akijinasibu kuwa kwasababu yeye ni mrefu, mwenye mwili mzuri wa mazoezi basi huwamaliza akina dada. Ronaldo ameweka wazi maisha yake binafsi wakati akifanyiwa mahojiano na Jonathan Ross Kuhusu Balon d’Or msimu huu, Ronaldo anasema Messi atatwaa tuzo hiyo kutokana na klabu yake ya Barcelona kutwaa makombe yote matatu iliyoshiriki msimu uliopita. Huku Ronaldo akisema ulikua ni msimu mzuri zaidi kwake binafsi kutokana na kufunga magoli mengi katika kila mashindano. Ronaldo ambaye alikua jijini London kwa utambulisho wa filam...

HII NDIYO RATIBA KAMILI YA STARS KABLA YA MCHEZO DHIDI YA ALGERIA

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager inarejea leo nyumbani kwa shirika la ndege la Fastjet, ambapo inatarajiwa kuwasili uwanja wa JK Nyerere majira ya saa 12 kamili jioni. Stars iliyokuwa imeweka kambi nchini Afrika Kusini kwa takribani siku 10, inarejea nyumbani ikiwa imefanya mazoezi vizuri kujiandaa na kuwakabili Algeria ‘Mbweha wa Jangwani’ siku ya Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Akiongelea kuhusu kambi kocha wa Stars, Charles Mkwasa amesema anashukuru kwa kambi waliyoipata Afrika Kusini, wachezaji wote wameweza kufanya mazoezi katika kiwango cha juu, hapakua na majeruhi hivyo ana imani vijana wake watafanya vizuri siku ya Jumamosi. Mkwasa amewaomba watanzania na wapenzi wa mpira wa miguu nchini, kujitokeza kwa wingi uwanjani kuja kuwasapoti katika mchezo dhidi ya Algeria, uwepo wa watanzania wengi uwanjani kuwashangilia utaongeza morali zaidi kwa wachezaji watakaokuwa wanapeperusha bende...

vichwa vya habari kwenye magazeti ya leo novemba 12, 2015

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .