Posts

Showing posts from October, 2015

matokeo ya darasa la saba 2015 yako hapa

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2015 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU

picha za mgombea urais wa ccm john pombe magufuli akipiga kura huko chato

Image
Mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi ccm Dkt.john pombe Magufuli akitoa kitambulisho chake cha kupigia kura mbele ya msimamizi wa uchaguzi    Mgombea wa urais kupitia chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli amepiga kura asubuhi hii huko Chato mkoani Geita.   magufuli akiwaonesha watanzania kidole kilicho pigwa muhuli kuashiria ametimiza haki yake ya kuchagua rais,wabunge na madiwani

Magazeti ya Tanzania leo jumamosi October 24, 2015

Image
Magazeti . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . DSC01675 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu

Unachopaswa Kufanya siku ya Uchaguzi- Jumapili

Image
Keshokutwa ni siku itakayokuwa na mambo mengi kwa sababu ya Uchaguzi Mkuu. Pamoja na ratiba ya kila mmoja lakini kupiga kura ni suala linalowaunganisha Watanzania wote. Ili kumchagua rais, wabunge na madiwani, yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa:   1. Fika katika kituo cha kupigaji kura katika muda uliotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambao ni kati ya 1:00 asubuhi hadi 10:00 jioni. 2. Baada ya kupiga kura unatakiwa kuondoka eneo la kupigia kura 3. Usifanye kampeni ya aina yoyote siku hiyo. 4. Usivae sare zinazokutambulisha kuwa wewe ni mfuasi wa chama chochote cha siasa. chanzo Mpekuzi blog

Lowassa Kuzungumza na Taifa LEO Oktoba 23, 2015 Saa tatu usiku

Image
TARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kupitia taarifa hii kwa vyombo vya habari, tunapenda kuutaarifu umma wa Watanzania wote nchini kuwa Mgombea Urais wa CHADEMA anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mh. Edward Ngoyai Lowassa atahutubia taifa kupitia vituo mbalimbali vya televisheni, redio na njia zingine za upashanaji habari hususan mitandao ya kijamii (live streaming facebook, twitter, forums etc), siku ya Ijumaa, tarehe 23 Oktoba, 2015, saa 3 usiku. Kupitia hotuba hiyo kwa taifa, Mh. Lowassa atazungumza na Watanzania wote, ndani na nje ya nchi, na watu wa mataifa yote, kuhusu Tanzania mpya itakayotokana na MABADILIKO makubwa ya kimfumo, kiutawala na utendaji wa serikali atakayoiunda baada ya Watanzania kumpatia dhamana ya kuwa Mkuu wa Nchi, Amiri Jeshi Mkuu na Kiongozi Mkuu wa Serikali hapo Oktoba 25, 2015. Aidha, Mhe. Lowassa atatumia muda huo kuwashukuru Watanzania wote kwa namna walivyomuunga mkono kwa upendo mkubwa yeye...

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO TANZANIA,IJUMAA OKTOBA 23,2015

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Chanzo-millardayo.com