Msanii wa Jamaica ashambuliwa na watanzania baada ya kutumia picha ya kampeni za CCM Mwanza kuwashukuru wakenya kwa show aliyoifanya
msanii wa Reggae kutoka Jamaica, Gramps Morgan amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya watanzania kumfumania kwenye mtandao wa Instagram akitumia Picha ya kampeni za CCM kuwashukuru wakenya kwa show aliyoifanya nchini humo.
Aliweka picha hiyo na kuandika “Much love to all our Kenyan fans it was a pleasure to perfom and spend time in such a wonderful country next European tour “kenya #africa #morganiheritage @morganheritage @iamjemere @grampsmorganfans @morganheritageblog”
Hizi ni baadhi ya Comment za watu kwenye picha hiyo
kapate1 Daaah leo hili NJEMBA limeingia “FEMALE TOILET” aweke cm yake chaji kabisa maaana atajutaaaa
barry_jmk Haha sijawai ona fans wametulia hivi? Uliperform wimbo gani
riham_de_prettygalI guess zimeruka kichwaniii hahahaa Tanzania since wen imekuwa Kenya hahahah damwaniiiiiii dis z toooooo much wew km unaipenda ccm semaa 2 kuliko kuzua uongoo@kijana_wa_magufuli2015
mariey_martinez @grampsmorgan what the shame..ur the biggest liar lool that is a presidential compain in our country Tanzania not what u call a show lool… we dont even know u here
masamasimbayu Who is stupid it was political campaign don’t cheat the world pls apilogiese us
ms_amily80m Hahahhhahaha chaaaii lol I can’t stop laughing this rastaman is a joke ashawoooo
dynamics_nation That is CCM’s Presidential campaign in Mwanza City Tanzania On Saturday 17th October, 2015 from 01:00 pm to 07:00 pm.
Gramps Morgan ambaye alikua kwenye ziara yake nchini Kenya pamoja na kundi lake la ‘Morgan heritage’ ni mtoto wa msanii maarufu wa reggae Denroy Morgan, Pia Morgan aliproduce Album ya Bunju Banton “Before the Dawn” iliyoshinda ‘Best Reggae Album’ kupitia Tuzo za Grammy mwaka 2011
chanzo teamtz.com



Comments
Post a Comment