Cheki na hii stori ya rapper Lil wayne

Wiki kadhaa zilizopita tulisikia kuwa kuna mtu anashikilia mkanda wa utupu wa Lil Wayne na amekusudia kuusambaza kwenye blogs na websites mbalimbali zinazopokea mikanda hiyo, wanasheria wa Lil Wayne wakasema itakuwa ngumu kwa yoyote kuuza mkanda huo bila idhini ya rapper mwenyewe, na kama ikitokea hivyo basi watachukua hatua kali dhidi ya mtandao huo… kuna mabadiliko yoyote?
WAYNEE4
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, mkanda wa utupu wa rapper Lil Wayne umeweka headlines kubwa sana baada ya mtandao wa HollywoodStreetKing kuanza kuachia vipande vya mkanda huo na kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, inaonekana Lil Wayne ameanza kukerwa na kitendo hiki.
WAYNEE2
Wanasheria wa Lil Wayne wameamua kuchukua hatua dhidi ya blog ya HollywoodStreetKing, kwa kuandika barua inayowaonya mtandao huo kuhusu kutumia video hiyo…
chanzo millard ayo.com

Comments

Popular posts from this blog

Pichaz za matukio yaliyo jiri magufuli alipokuwa chato leo

Crystal Palace kuivaa Man united –FA CUP