TOP TEN YA MASTAA WENYE FOLOWERS WENGI INSTAGRAM
Kim Kardashian amevunja rekodi ya msanii
Beyoncé kwa kuwa na followers wengi zaidi
instagram, mpaka sasa Kim K amepata
followers milioni 44.
Kim kapata watu hawa ndani ya siku chache
baada ya kutangza kutegemea mtoto wa pili na
kuonyesha mabadiliko ya mwili wake.
Hii ndio top ten ya mastaa wenye followers
wengi zaidi duniani.
1. Kim Kardashian — 44,005,604
2. Beyoncé — 43,935,648
3. Taylor Swift — 43,533,226
4. Selena Gomez — 41,843,095
5. Ariana Grande — 41,696,873
6. Justin Bieber — 36,994,254
7. Kendall Jenner — 35,388,483
8. Kylie Jenner — 33,703,166
9. Nicki Minaj — 32,278,123
10. Khloé Kardashian — 30,522,261
Comments
Post a Comment