Hawa ndio watu kumi maarufu duniani ambao wanadhani Cristiano Ronaldo ni mchezaji bora duniani

1. Jose Mourinho
‘‘Cristiano Ronaldo ni mtambo wa magoli. Ni bora na kamwe hakutakuja kutokea Ronaldo mwingine’’ Jose Mourinho
2. Fernando Torres

‘‘Kwa
upande wangu Cristiano Ronaldo ni mchezaji bora ulimwenguni. Ni mtambo
wa mabo usiofananishwa na mtu yeyote yule’’ Fernando Torres.
3. Bobby Charlton
‘‘Anafanya
vitu ambavyo sijawahi kuvishuhudia hapo awali kwa mchezaji mwigine
yeyote na kiukweli ni lazima upatwe na mshangao mkubwa sana pale
unapomuangalia’’, Sir Bobby Charlton.
4. Rio Ferdinand

‘‘Angeweza kuwa mchezaji mkubwa sana lakini anaelekea kuwa mchezaji bora kabisa duniani, na sasa ndivyo alivyo’’, Rio Ferdinand.
5. Lee Clayton

‘‘Nguvu, kasi. Boksi la ofisi ya mpira. Naweza kusema huyu ni George Best bila shaka’’ Lee Clayton
6. Carlos Queiroz

Atakuja
kuwa nyota wa dunia kama Michael Jordan katika mchezo wa mpira wa
kikapu. Wote kwa pamoja wamebarikiwa akili ambazo haziwahi kuonekana
hapo kabla’’, Carlos Queiroz.
7. Liam Payne – One Direction star

‘‘Cristiano Ronaldo ni mchezaji anayenivutia. Ni mchezaji bora ulimwenguni’’, nyota wa One direction Liam Payne.
8. Sir Alex Ferguson

‘‘Tumekuwa
na baadhi ya wachezaji wakubwa sana hapa klabuni kwa miaka takribani
20, lakini huyu ni zaidi ya wote hao’’, Sir Alex Ferguson.
9. George Best

“Kumekuwa
na wachezaji wachache sana ambao wamekuwa wakiitwa kama George Best
wapya kwa miaka mingi tu, lakini hii ni mara ya kwanza kwangu
kukubaliana na kauli hii”, George Best.
10. Cesc Fabregas

“Kwangu mimi, ni mchezaji wa kipekee.” Cesc fabregas


Comments
Post a Comment