Hawa ndio watu kumi maarufu duniani ambao wanadhani Cristiano Ronaldo ni mchezaji bora duniani


1. Jose Mourinho 
‘‘Cristiano Ronaldo ni mtambo wa magoli. Ni bora na kamwe hakutakuja kutokea Ronaldo mwingine’’ Jose Mourinho

2. Fernando Torres 
‘‘Kwa upande wangu Cristiano Ronaldo ni mchezaji bora ulimwenguni. Ni mtambo wa mabo usiofananishwa na mtu yeyote yule’’ Fernando Torres.

3. Bobby Charlton
‘‘Anafanya vitu ambavyo sijawahi kuvishuhudia hapo awali kwa mchezaji mwigine yeyote na kiukweli ni lazima upatwe na mshangao mkubwa sana pale unapomuangalia’’, Sir Bobby Charlton.

4. Rio Ferdinand
‘‘Angeweza kuwa mchezaji mkubwa sana lakini anaelekea kuwa mchezaji bora kabisa duniani, na sasa ndivyo alivyo’’, Rio Ferdinand.

5. Lee Clayton 
‘‘Nguvu, kasi. Boksi la ofisi ya mpira. Naweza kusema huyu ni George Best bila shaka’’ Lee Clayton

6. Carlos Queiroz 
Atakuja kuwa nyota wa dunia kama Michael Jordan katika mchezo wa mpira wa kikapu. Wote kwa pamoja wamebarikiwa akili ambazo haziwahi kuonekana hapo kabla’’, Carlos Queiroz.

7. Liam Payne – One Direction star
‘‘Cristiano Ronaldo ni mchezaji anayenivutia. Ni mchezaji bora ulimwenguni’’, nyota wa One direction Liam Payne.

8. Sir Alex Ferguson 
‘‘Tumekuwa na baadhi ya wachezaji wakubwa sana hapa klabuni kwa miaka takribani 20, lakini huyu ni zaidi ya wote hao’’, Sir Alex Ferguson.

9. George Best 
“Kumekuwa na wachezaji wachache sana ambao wamekuwa wakiitwa kama George Best wapya kwa miaka mingi tu, lakini hii ni mara ya kwanza kwangu kukubaliana na kauli hii”, George Best.

10. Cesc Fabregas 
“Kwangu mimi, ni mchezaji wa kipekee.” Cesc fabregas

Comments

Popular posts from this blog

Pichaz za matukio yaliyo jiri magufuli alipokuwa chato leo

Crystal Palace kuivaa Man united –FA CUP