YANGA YATAMBULISHA VIFAA VYAKE VIPYA LEO JULAI 1,2015
Wachezaji
wapya wa Yanga Donald Dombo Ngoma (kulia) na Joseph Tetteh Zutah
walipokuwa wakitambulishwa leo mbele ya waandishi wa habari na
mkurugenzi wa kitengo cha habari Jerry Murro. Wote wamesaini mkataba wa
miaka 2.




Comments
Post a Comment