Tetesi za soka dirisha la usajili Ulaya Jumatano Julai 1, 2015
Manchester
United wataongeza dau lao la pauni milioni 30 kumtaka beki Sergio
Ramos, 29, ikiwa tu Real Madrid nao wataongeza dau kwa kipa David De
Gea, 24 (Mirror) hata hivyo mama yake Ramos Paqui Garcia amesema mwanaye
anataka kubakia Bernabeu (Antena 3).
Crystal Palace wanazungumza na Paris Saint-Germain kuhusu kumsajili kiungo Yohan Cabaye, 29 kwa pauni milioni 10 (Guardian).
Meneja
wa Stoke City Mark Hughes atalipa pauni milioni 4.4 kumsajili kiungo
kutoka Ghana Emmanuel Agyemang-Badu, 24 kutoka Udenese (Daily Star).
Manchester
City watakabiliwa na ushindani mkali kuwapata viungo wanaowataka, Kevin
De Bryne, 24 ambaye Wolfsburg wamesema hawatamuuza huku Paul Pogba wa
Juventus akisubiri uchaguzi wa Barcelona (Daily Telegraph).
City huenda wakaelekeza nguvu zao kwa kiungo wa Napoli Marek Hamsik, 27, kwa pauni milioni 20 (Sun).
Manchester
City wanapanga kumchukua Pep Guardiola kuziba nafasi ya Manuel
Pellegrini katika kipindi cha mwaka mmoja ujao, lakini Pellegrini
amedhamiria kusalia Etihad na anataka kuanza mazungumzo ya mkataba mpya
(Daily Star).
Aston
Villa wanataka kumsajili Esteban Cambiasso, 34 baada ya mkataba wake
kumalizika Leicester City (Sun). Newcastle United watalazimika kulipa
pauni milioni 9 kama wanataka kumsajili mshambuliaji Bas Dost, 26 kutoka
Wolfsburg (Daily Express).
Beki
wa Uruguay Sebastian Coates, 24, atahamia moja kwa moja Sunderland
kutoka Liverpool (Guardian). Mshambuliaji wa Aston Villa Chrstian
Benteke, 24 atakataa kuhamia Tottenham hata kama mkataba utafikiwa kwa
sababu anataka kwenda Liverpool (London Evening Standard).
Kiungo
wa Atletico Madrid Arda Turan, 28 anayenyatiwa na Chelsea na Manchester
United atatangaza anakwenda wapi ifikapo Ijumaa (Manchester Evening
News).
Chelsea
wanatarajiwa kuthibitisha usajili wa mkopo wa Radamel Falcao, 29 baada
ya kukubaliana maslahi binafsi na mshahara wa pauni 130,000 kwa wiki
(London Evening Standard).
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Ndugu Allan Kijazi
akizungumza jambo,wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Wahariri wa Habari
Tanzania,mapema leo asubuhi jijini Mwanza.Ndugu Kijazi alisema kuwa
Utalii ni sekta mtambuka na inachochea ukuaji wa sekta nyingine ikiwa ni
pamoja na kilimo, usafirishaji wa anga na barabara, huduma za fedha,
huduma za chakula na malazi kudorora kwa sekta nyinginezo. "Hivyo
kudorora kwa sekta hii huchangia kwa kiasi kikubwa kudorora kwa sekta
nyingine. Aidha, hadi sasa, Utalii unaongoza katika kuingiza fedha za
kigeni ikiwa ya kwanza na kufuatiwa na sekta ya madini na kilimo.
Kwa na kwa ujumla unachangia asilimia 17.5 ya Pato la Taifa lakini
tathmini inaonyesha sekta hii inaweza ikachangia zaidi ya 30% ya pato la
Taifa. Asilimia zaidi ya 80 ya utalii nchini ni utalii wa kutembelea
kwenye Hifadhi za Taifa, na hii inaonyesha kuwa hifadhi hizi ni muhimu
kwa ustawi wa taifa letu. Ni zaidi ya mara tatu ya idadi ya
wanaotembelea Hifadhi hizi'',alisema Ndugu Kijazi.
Alisema kuwa Maeneo yaliyo chini ya Hifadhi za Taifa yana faida nyingi
za kiikolojia (ecosystem services) kama vile kuwa vyanzo vya maji
(mfano; Hifadhi za Kilimanjaro, Arusha na Udzungwa). Maji hayo pia
hutumiwa kwa ajili ya kuzalisha umeme unaotumika kwenye gridi ya Taifa.
Hivyo faida za kusimamia Hifadhi hizi haziishii tu kwa watalii kufurahia
bali pia kuna faida nyingine za kiuchumi ambazo sio rahisi sana
kuziainisha katika mfumo wa kifedha (i.e. other values which are not
easily tagged in financial terms).
Ndugu Kijazi alisema mwaka huu 2015, mtandao maarufu wa kimataifa
unaojulikana kwa jina la “Safari Bookings” uliiteua Hifadhi ya Taifa ya
Serengeti kuwa “The best park for African safaris” na hii ni baada ya
kushindanishwa na hifadhi nyingine 50 Barani Afrika zikiwemo za Afrika
Kusini.Aidha, Hifadhi za Mikumi na Arusha zilitunukiwa “Certificate of
Excellence” na mtandao maarufu duniani ujulikanao kama TripAdvisor.
Katika ufunguzi wa Warsha hiyo,Ndugu Kijazi alisema kuwa, Kauli mbiu ya
Mkutano wa mwaka huu ni “Wajibu wa Vyombo vya Habari katika kukuza
utalii”. aliongeza kusema kuwa pamoja na kuelezea shughuli za TANAPA,
mada zitakazowasilishwa zitahusu masuala ya Utalii na Uhifadhi na namna
wanahabari wanavyoweza kushirikiana na TANAPA katika kuhimiza uhifadhi
na kuendeleza utalii. "Mada kuu nne zitawasilishwa na viongozi wa
TANAPA na wanazuoni maarufu akiwemo Nd. Jenerali Ulimwengu na Dkt.
Alfred Kikoti. Inatarajiwa kuwa washiriki watapata fursa ya kuchangia na
mwishoni watatushauri namna ya kuboresha utekelezaji wa majukumu
yetu",alisema Kijazi.
PICHA NA MICHUZI JR-MWANZA
Mkurugenzi wa Utalii na Masoko TANAPA,Bwa.Ibrahim Mussa akifafanua
jambo katika Warsha ya siku tatu ya Wahariri wa Habari na Wana habari
kutoka vyombo mbalimbali,inayofanyika jijini Mwanza katika hotel ya Gold
Crest. Kauli mbiu ya Mkutano wa mwaka huu ni “Wajibu wa Vyombo vya
Habari katika kukuza utalii”. Pamoja na kuelezea shughuli za
TANAPA,aidha imeelezwa katika Warsha hiyo kuwa mada zitakazowasilishwa
zitahusu masuala ya Utalii na Uhifadhi na namna wanahabari wanavyoweza
kushirikiana nasi katika kuhimiza uhifadhi na kuendeleza utalii.
Baadhi ya Wahari wa Habari kutoka vyombo mbalimbali wakifuatilia
yaliyokuwa yakijiri katika Warsha ya siku tatu ya Wahariri wa Habari
kutoka vyombo mbalimbali,inayofanyika jijini Mwanza katika hotel ya Gold
Crest. Kauli mbiu ya Mkutano wa mwaka huu ni “Wajibu wa Vyombo vya
Habari katika kukuza utalii”. Pamoja na kuelezea shughuli za TANAPA.
Meneja Uhusiano wa Shirika la Hifadhi za Taifa nchni (TANAPA),Pascal
Shelutete akifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikijadiliwa kwenye
semina hiyo mapema leo asubuhi jijini Mwanza
Baadhi ya Wahari wa Habari kutoka vyombo mbalimbali wakifuatilia
yaliyokuwa yakijiri katika Warsha ya siku tatu ya Wahariri wa Habari
kutoka vyombo mbalimbali,inayofanyika jijini Mwanza katika hotel ya Gold
Crest. Kauli mbiu ya Mkutano wa mwaka huu ni “Wajibu wa Vyombo vya
Habari katika kukuza utalii”. Pamoja na kuelezea shughuli za TANAPA.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA),Ndugu Allan
Kijazi pichani kati na Meneja Uhusiano wa Shirika la Hifadhi za Taifa
nchni (TANAPA),Pascal Shelutete akizungumza jambo na Mkurugenzi wa
Utalii na Masoko TANAPA,Bwa.Ibrahim Mussa katika Warsha ya siku tatu ya
Wahariri wa Habari na Wana habari kutoka vyombo mbalimbali,inayofanyika
jijini Mwanza katika hotel ya Gold Crest. Kauli mbiu ya Mkutano wa mwaka
huu ni “Wajibu wa Vyombo vya Habari katika kukuza utalii”.
Uongozi wa juu wa TANAPA wakiwa katika picha ya pamoja na Wahariri wa
Habari kutoka vyombo mbalimbali.
Uongozi wa juu wa TANAPA wakiwa katika picha ya pamoja
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Manchester
United wataongeza dau lao la pauni milioni 30 kumtaka beki Sergio
Ramos, 29, ikiwa tu Real Madrid nao wataongeza dau kwa kipa David De
Gea, 24 (Mirror) hata hivyo mama yake Ramos Paqui Garcia amesema mwanaye
anataka kubakia Bernabeu (Antena 3).
Crystal Palace wanazungumza na Paris Saint-Germain kuhusu kumsajili kiungo Yohan Cabaye, 29 kwa pauni milioni 10 (Guardian).
Meneja
wa Stoke City Mark Hughes atalipa pauni milioni 4.4 kumsajili kiungo
kutoka Ghana Emmanuel Agyemang-Badu, 24 kutoka Udenese (Daily Star).
Manchester
City watakabiliwa na ushindani mkali kuwapata viungo wanaowataka, Kevin
De Bryne, 24 ambaye Wolfsburg wamesema hawatamuuza huku Paul Pogba wa
Juventus akisubiri uchaguzi wa Barcelona (Daily Telegraph).
City huenda wakaelekeza nguvu zao kwa kiungo wa Napoli Marek Hamsik, 27, kwa pauni milioni 20 (Sun).
Manchester
City wanapanga kumchukua Pep Guardiola kuziba nafasi ya Manuel
Pellegrini katika kipindi cha mwaka mmoja ujao, lakini Pellegrini
amedhamiria kusalia Etihad na anataka kuanza mazungumzo ya mkataba mpya
(Daily Star).
Aston
Villa wanataka kumsajili Esteban Cambiasso, 34 baada ya mkataba wake
kumalizika Leicester City (Sun). Newcastle United watalazimika kulipa
pauni milioni 9 kama wanataka kumsajili mshambuliaji Bas Dost, 26 kutoka
Wolfsburg (Daily Express).
Beki
wa Uruguay Sebastian Coates, 24, atahamia moja kwa moja Sunderland
kutoka Liverpool (Guardian). Mshambuliaji wa Aston Villa Chrstian
Benteke, 24 atakataa kuhamia Tottenham hata kama mkataba utafikiwa kwa
sababu anataka kwenda Liverpool (London Evening Standard).
Kiungo
wa Atletico Madrid Arda Turan, 28 anayenyatiwa na Chelsea na Manchester
United atatangaza anakwenda wapi ifikapo Ijumaa (Manchester Evening
News).
Chelsea
wanatarajiwa kuthibitisha usajili wa mkopo wa Radamel Falcao, 29 baada
ya kukubaliana maslahi binafsi na mshahara wa pauni 130,000 kwa wiki
(London Evening Standard).
Manchester
United wataongeza dau lao la pauni milioni 30 kumtaka beki Sergio
Ramos, 29, ikiwa tu Real Madrid nao wataongeza dau kwa kipa David De
Gea, 24 (Mirror) hata hivyo mama yake Ramos Paqui Garcia amesema mwanaye
anataka kubakia Bernabeu (Antena 3).
Crystal Palace wanazungumza na Paris Saint-Germain kuhusu kumsajili kiungo Yohan Cabaye, 29 kwa pauni milioni 10 (Guardian).
Meneja
wa Stoke City Mark Hughes atalipa pauni milioni 4.4 kumsajili kiungo
kutoka Ghana Emmanuel Agyemang-Badu, 24 kutoka Udenese (Daily Star).
Manchester
City watakabiliwa na ushindani mkali kuwapata viungo wanaowataka, Kevin
De Bryne, 24 ambaye Wolfsburg wamesema hawatamuuza huku Paul Pogba wa
Juventus akisubiri uchaguzi wa Barcelona (Daily Telegraph).
City huenda wakaelekeza nguvu zao kwa kiungo wa Napoli Marek Hamsik, 27, kwa pauni milioni 20 (Sun).
Manchester
City wanapanga kumchukua Pep Guardiola kuziba nafasi ya Manuel
Pellegrini katika kipindi cha mwaka mmoja ujao, lakini Pellegrini
amedhamiria kusalia Etihad na anataka kuanza mazungumzo ya mkataba mpya
(Daily Star).
Aston
Villa wanataka kumsajili Esteban Cambiasso, 34 baada ya mkataba wake
kumalizika Leicester City (Sun). Newcastle United watalazimika kulipa
pauni milioni 9 kama wanataka kumsajili mshambuliaji Bas Dost, 26 kutoka
Wolfsburg (Daily Express).
Beki
wa Uruguay Sebastian Coates, 24, atahamia moja kwa moja Sunderland
kutoka Liverpool (Guardian). Mshambuliaji wa Aston Villa Chrstian
Benteke, 24 atakataa kuhamia Tottenham hata kama mkataba utafikiwa kwa
sababu anataka kwenda Liverpool (London Evening Standard).
Kiungo
wa Atletico Madrid Arda Turan, 28 anayenyatiwa na Chelsea na Manchester
United atatangaza anakwenda wapi ifikapo Ijumaa (Manchester Evening
News).
Chelsea
wanatarajiwa kuthibitisha usajili wa mkopo wa Radamel Falcao, 29 baada
ya kukubaliana maslahi binafsi na mshahara wa pauni 130,000 kwa wiki
(London Evening Standard).
Manchester
United wataongeza dau lao la pauni milioni 30 kumtaka beki Sergio
Ramos, 29, ikiwa tu Real Madrid nao wataongeza dau kwa kipa David De
Gea, 24 (Mirror) hata hivyo mama yake Ramos Paqui Garcia amesema mwanaye
anataka kubakia Bernabeu (Antena 3).
Crystal Palace wanazungumza na Paris Saint-Germain kuhusu kumsajili kiungo Yohan Cabaye, 29 kwa pauni milioni 10 (Guardian).
Meneja
wa Stoke City Mark Hughes atalipa pauni milioni 4.4 kumsajili kiungo
kutoka Ghana Emmanuel Agyemang-Badu, 24 kutoka Udenese (Daily Star).
Manchester
City watakabiliwa na ushindani mkali kuwapata viungo wanaowataka, Kevin
De Bryne, 24 ambaye Wolfsburg wamesema hawatamuuza huku Paul Pogba wa
Juventus akisubiri uchaguzi wa Barcelona (Daily Telegraph).
City huenda wakaelekeza nguvu zao kwa kiungo wa Napoli Marek Hamsik, 27, kwa pauni milioni 20 (Sun).
Manchester
City wanapanga kumchukua Pep Guardiola kuziba nafasi ya Manuel
Pellegrini katika kipindi cha mwaka mmoja ujao, lakini Pellegrini
amedhamiria kusalia Etihad na anataka kuanza mazungumzo ya mkataba mpya
(Daily Star).
Aston
Villa wanataka kumsajili Esteban Cambiasso, 34 baada ya mkataba wake
kumalizika Leicester City (Sun). Newcastle United watalazimika kulipa
pauni milioni 9 kama wanataka kumsajili mshambuliaji Bas Dost, 26 kutoka
Wolfsburg (Daily Express).
Beki
wa Uruguay Sebastian Coates, 24, atahamia moja kwa moja Sunderland
kutoka Liverpool (Guardian). Mshambuliaji wa Aston Villa Chrstian
Benteke, 24 atakataa kuhamia Tottenham hata kama mkataba utafikiwa kwa
sababu anataka kwenda Liverpool (London Evening Standard).
Kiungo
wa Atletico Madrid Arda Turan, 28 anayenyatiwa na Chelsea na Manchester
United atatangaza anakwenda wapi ifikapo Ijumaa (Manchester Evening
News).
Chelsea
wanatarajiwa kuthibitisha usajili wa mkopo wa Radamel Falcao, 29 baada
ya kukubaliana maslahi binafsi na mshahara wa pauni 130,000 kwa wiki
(London Evening Standard).

Comments
Post a Comment