Terry aanika makombe yote aliyowahi kuchukua katika tasnia ya mpira wa miguu, ingia hapa kuona alichokifanya
Akiwa
katika kipindi hiki cha mapumziko, nahodha wa Chelsea John ametumia
likizo yake hii kujikumbusha mafanikio yake tangu alipoanza tasnia ya
mpira wa miguu mpaka sasa alipofikia.
Mlinzi
huyo mahiri aliweka picha ya kabati ambalo lina makombe yote aliyowahi
kuchukua katika mtandao wa Instagram jana, huku likiongezeka la ligi kuu
ambalo wamechukua msimu huu uliomalizaika wa 2014-15 ambalo alicheza
kila dakika ya mchezo mpaka msimu kuisha.

Haya ndio makombe ambayo Terry ameweza kujinyakulia katika kipindi chote ambacho ameichezea Chelsea.


Jumla ya makombe aliyojinyakulia Terry
Ligi kuu: 4
Kombe la FA: 5
Kombe la Ligi: 3
Ligi ya Mbingwa: 1
Kombe la Uropa: 1
Comments
Post a Comment