BREAKING NEWZZZ...ROBIN VAN PERSIE AONDOKA MAN UNITED AJIUNGA NA TIMU HII KWA MIAKA MINNE

 
Japokuwa bado kuna mambo machache ambayo yanaitajika kumaliziwa na kukubaliwa na Van Persie mwenyewe, lakini sehemu kubwa ya dili la uhamisho wa Van Persie umekamilika.
 
Guiliano Terraneo director wa Fenerbahce alisafiri kwenda London hivi karibuni kwa ajili ya mazungumzo kuhusu uhamisho wa Van Persie na mazungumzo hayo yamezaa matunda kwa Manchester kukubali kumuuza Van ambae amebakisha mwaka mmoja wa mkataba wake.
Vipengele vimebakika vichache sana ili uhamisho kamili ufanyike na inategemewa weekend hii Fenerbahce watamtangaza kama mchezaji wao mpya

Comments

Popular posts from this blog

Pichaz za matukio yaliyo jiri magufuli alipokuwa chato leo

Crystal Palace kuivaa Man united –FA CUP