Benard Membe Kutangaza Nia Ya Kugombea Urais Leo Saa Sita Mchana

Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh.Bernad Membe leo anatarajia kutangaza nia ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi ateuliwe kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Comments

Popular posts from this blog

Pichaz za matukio yaliyo jiri magufuli alipokuwa chato leo

Crystal Palace kuivaa Man united –FA CUP